
Chelsea imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Wigan mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Stanford Bridge kwa mabao ya Ivanovic na Diame waliofunga katika kila kipindi.
Kwa ushindi huo, matokeo hayo yanaifanya Chelsea kufikisha pointi 56
Nayo Sunderland ilitoshana nguvu na Tottenham wakati Bolton ikiwa nyumbani ilitandikwa mabao 3-0 na Fulham katika mchezo uliokuwa wa ushindani.
Mchezo mwingine uliikutanisha Liverpool inayochechemea kwa sare ya 1-1 na Aston Villa huku West Brom ikiibandua mabao 3-0 Blackburn, Norwich na Everton zenyewe zilitoka sare ya kufungana mabao 2-2.
No comments:
Post a Comment