Mechi nyingine za leo, West Brom iliyokuwa nyumbani iliitandika Sunderland mabao 4-0.
Nayo QPR ilishindwa kutumia uwanja wa nyumbani na kuchapwa bao 1-0 na Fulham wakati Newcastle ikiwa nyumbani ililazimishwa sare ya 2-2 na Wolves. Wigan na Aston Villa zilitoka suluhu.
![]() |
Drogba |
No comments:
Post a Comment