Yanga iliyokuwa imepania mchezo huo, imejiweka katika mazingira hatari, kwani Zamalek iliyovuliwa ubingwa na Simba 2003, itakuwa ikihitaji ushindi wa bao 1-0 au suluhu waweze kusonga mbele.
Ukiacha hayo ya yanga, Simba nayo imetoka sare ya 1-1 na Kiyovu ya Rwanda katika mchezo mwingine wa Kombe la Shirikisho Afrika.
Zamalek ilisawaisha kipindi cha pili kupitia kwa mshambuliaji wake matata Amr Zaki na kuiweza timu yake katika nafasi nzuri ya kusonga mbele wiki mbili zijazo.
Simba nayo inahitaji ushindi ama suluhu ya bila mabao iweze kuingia raundi ya kwanza kwani itakuwa na faida ya bao la ugenini.
No comments:
Post a Comment