Wachezaji wa Simba wakifanya mazoezi kwenye gym ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mechi yao ya Kombe la Shirikisho la Soka Afrika dhidi ya Kiyovu ya Rwanda. Kocha wa timu hiyo, Cirkovic amekuwa mstari wa mbele kuhamasisha wachezaji wa timu hiyo kuzingatia mazoezi.

No comments:
Post a Comment