Bao lililofungwa na Davis Mwape katika dakika ya 46, liliiwezesha Yanga kuibuka na ushindi huo katika mechi ya Ligi Kuu Bara, kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam Jumapili jioni.
Yanga imefikisha pointi 37 sawa na Simba na inaongoza kwa tofauti ya mabao ya kufunga na kufungwa. Azam ni ya tatu katika msimamo wa ligi hiyo.
No comments:
Post a Comment