Michuano ya netiboli Ligi Daraja la pili mkoa wa Dar es Salaam yamefunguliwa kwenye viwanja vya klabu ya Sigara jijini Dar es Salaam na Mama Tunu Pinda.
Timu mbalimbali zinashiriki mashindano hayo ambayo lengo hasa ni kusaidia kuinua mchezo huo na pia kupata timu za daraja la kwanza.
No comments:
Post a Comment